WIMBO 25
Watiwa-Mafuta Ni Mali ya Pekee
Maandishi
1. Mungu alichagua
Kutoka mu dunia,
Kikundi ya Wakristo
Watiwa-mafuta.
(REFREE)
Mali ya pekee
Watu kwa jina yake.
Na wanamupenda
Na kutangaza sifa zake.
2. Taifa takatifu,
Wanafundisha kweli.
Mungu aliwaleta
Mu mwangaza wake.
(REFREE)
Mali ya pekee
Watu kwa jina yake.
Na wanamupenda
Na kutangaza sifa zake.
3. Wako naita watu
Wa kondoo wengine;
Wanamutii Kristo
Na kumufuata.
(REFREE)
Mali ya pekee
Watu kwa jina yake.
Na wanamupenda
Na kutangaza sifa zake.
(Ona pia Isa. 43:20b, 21; Mal. 3:17; Kol. 1:13.)