Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 148
  • Yehova Ni Mungu Mwenye Kuokoa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Ni Mungu Mwenye Kuokoa
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Unipatie Uhodari
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Watiwa-Mafuta Ni Mali ya Pekee
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tumusifu Yehova Mungu Wetu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Mumupatie Yehova Utukufu
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 148

WIMBO 148

Yehova Ni Mungu Mwenye Kuokoa

Maandishi

(2 Samweli 22:1-8)

  1. 1. Yehova uko Mungu mwenye kuishi.

    Uliumba mbingu na dunia pia.

    Hakuna Muumbaji mwenye nguvu, hakuna

    Ni weye tu, Baba.

    (REFREE)

    Yehova, uko jiwe yenye nguvu

    Na watu wako, kweli utakomboa.

    Njo maana nitatangaza jina yako,

    Kwa sababu weye njo utaniokoa.

  2. 2. Hata nikuwe mu hatari ya kufa,

    “Nipatie nguvu, ninakulilia.”

    Kutoka mu hekalu yako safi, “sikia,

    Baba niokoe.”

    (REFREE)

    Yehova, uko jiwe yenye nguvu

    Na watu wako, kweli utakomboa.

    Njo maana nitatangaza jina yako,

    Kwa sababu weye njo utaniokoa.

  3. 3. Maadui wako watahangaika.

    Na ukinguruma watatetemeka.

    Siye tutafurahi; tunajua ya kama

    Utatuokoa.

    (REFREE)

    Yehova, uko jiwe yenye nguvu

    Na watu wako, kweli utakomboa.

    Njo maana nitatangaza jina yako,

    Kwa sababu weye njo utaniokoa.

(Ona pia Zb. 18:1, 2; 144:1, 2.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine