Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 63
  • Tuko Mashahidi wa Yehova!

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuko Mashahidi wa Yehova!
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Watiwa-Mafuta Ni Mali ya Pekee
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Jina Yako Ni Yehova
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Nguvu Yangu, Tumaini Yangu, Ninakutegemea
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Nitakutumikia kwa Nafsi Yangu Yote
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 63

WIMBO 63

Tuko Mashahidi wa Yehova!

Maandishi

(Isaya 43:10-12)

  1. 1. Watu wanaabudu

    Sanamu na majiwe.

    Mungu Mweza-Yote,

    Hawamujue.

    Ile miungu yote

    Haiwezi kuona,

    Tena haina mashahidi

    Sababu ni ya uongo.

    (REFREE)

    Siye njo Mashahidi

    wa kweli wa Yehova.

    Mungu wetu akitabiri

    Lazima atimize.

  2. 2. Tuko tunafundisha

    Watu jina ya Mungu,

    Na tunahubiri

    Habari njema.

    Tunawasaidia

    Wajue kweli yake,

    Kusudi wapate uhuru,

    Na wamusifu milele.

    (REFREE)

    Siye njo Mashahidi

    wa kweli wa Yehova.

    Mungu wetu akitabiri

    Lazima atimize.

  3. 3. Tukifundisha watu

    Tunaheshimu Mungu.

    Tunahubiria

    Watu wabaya.

    Kama tu wanatubu,

    Yah atawasamehe.

    Kama wanamutumikia

    Njo watapata uzima.

    (REFREE)

    Siye njo Mashahidi

    wa kweli wa Yehova.

    Mungu wetu akitabiri

    Lazima atimize.

(Ona pia Isa. 37:19; 55:11; Eze. 3:19.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine