WIMBO 3
Nguvu Yangu, Tumaini Yangu, Ninakutegemea
Maandishi
1. Yehova ninafurahia
Tumaini yangu
Yenye umenipatia,
Nitaitangaza.
Lakini niko na magumu
Yenye kuogopesha;
Inafanya nipoteze
Tumaini yangu.
(REFREE)
Unanisaidia kuhubiri
Na kufundisha
muzuri.
Uko tumaini,
na nguvu yangu;
Na ninakutegemea.
2. Yehova unisaidie
Nisikusahau.
Kama niko na magumu
Baba! nifariji.
Nikikumbuka wema wako
Ninakuwa na nguvu,
Ile inafanya tena
Nihubiri sana.
(REFREE)
Unanisaidia kuhubiri
Na kufundisha
muzuri.
Uko tumaini,
na nguvu yangu;
Na ninakutegemea.
(Ona pia Zb. 72:13, 14; Mez. 3:5, 6, 26; Yer. 17:7.)