SEHEMU YA INE
“Nitatetea kwa Bidii Jina Langu Takatifu”—Ibada Safi Inashambuliwa, Lakini Inaokoka
WAZO KUBWA: Yehova analinda watu wake wakati wa taabu kubwa
Yehova anatupenda, lakini atatuomba tutoe hesabu juu ya matendo yetu. Anajisikiaka je kuhusu wale wenye wanasema kama wanamuabudu lakini matendo yao haionyeshe vile? Ataangalia nini juu ya kuamua kama mutu fulani anastahili kuokoka taabu kubwa? Na juu ya nini Yehova, Mungu wa upendo, ataharibu mamilioni ya watu waovu?