Siku ya Yenga
‘Yule Ambaye Atavumilia Mupaka Mwisho Ndiye Atakayeokolewa’—MATHAYO 24:13
ASUBUHI
3:20 (9:20) Video ya Muziki
3:30 (9:30) Wimbo Na. 83 na Sala
3:40 (9:40) HOTUBA YENYE SEHEMU MUNANE: Tunapaswa ‘Kukimbia kwa Uvumilivu’
Kimbia na Kusudi la Kupata Ushindi (1 Wakorintho 9:24)
Ujizoeze kwa Bidii! (1 Wakorintho 9:25-27)
Achana na Mizigo Yenye Haiko ya Lazima (Waebrania 12:1)
Uige Mifano ya Muzuri (Waebrania 12:2, 3)
Tumia Chakula Chenye Kujenga (Waebrania 5:12-14)
Kunywa Maji Mengi (Ufunuo 22:17)
Kimbia kwa Kutii Sheria (2 Timotheo 2:5)
Ukuwe na Imani Kama Utapata Zawadi (Waroma 15:13)
5:10 (11:10) Wimbo Na. 130 na Matangazo
5:20 (11:20) HOTUBA YA WATU WOTE: Usipoteze Tumaini Hata Kidogo! (Isaya 48:17; Yeremia 29:11)
5:50 (11:50) Kifupi cha Munara wa Mulinzi
6:20 (12:20) Wimbo Na. 148 na Mapumuziko
KISHA MIDI
7:35 (13:35) Video ya Muziki
7:45 (13:45) Wimbo Na. 142
7:50 (13:50) MUCHEZO WENYE KUTEGEMEA BIBLIA: Mukumbuke Bibi ya Loti—Sehemu ya 3 (Luka 17:28-33)
8:20 (14:20) Wimbo Na. 65 na Matangazo
8:30 (14:30) ‘Endelea Kungojea . . . Haitachelewa!’ (Habakuki 2:3)
9:30 (15:30) Wimbo Na. 154 na Sala ya Mwisho