Siku ya Yenga
“Mungu mwenye anatoa tumaini awajaze ninyi furaha yote na amani”—Waroma 15:13
Asubui
3:20 (9:20) Video ya Muziki
3:30 (9:30) Wimbo Na. 101 na Sala
3:40 (9:40) HOTUBA YENYE SEHEMU SABA: Walipanda Amani na Wakaivuna
• Yosefu na Ndugu Zake (Wagalatia 6:7, 8; Waefeso 4:32)
• Wagibeoni (Waefeso 5:17)
• Gideoni (Waamuzi 8:2, 3)
• Abigaili (1 Samweli 25:27-31)
• Mefibosheti (2 Samweli 19:25-28)
• Paulo na Barnaba (Matendo 15:36-39)
• Ndugu wa mu Siku Zetu (1 Petro 2:17)
5:05 (11:05) Wimbo Na. 28 na Matangazo
5:15 (11:15) HOTUBA YA WATU WOTE: Unaweza Kufanya Nini Juu Ukuwe Rafiki ya Mungu? (Yakobo 4:8; 1 Yohana 4:10)
5:45 (11:45) Wimbo Na. 147 na Mapumuziko
Kisha Midi
7:35 (13:35) Video ya Muziki
7:45 (13:45) Wimbo Na. 23
7:50 (13:50) DRAMA YENYE KUTEGEMEA BIBLIA: Yehova Anatuongoza mu Njia ya Amani—Sehemu ya 2 (Isaya 48:17, 18)
8:30 (14:30) Wimbo Na. 139 na Matangazo
8:40 (14:40) Ulimwengu Muzima Utakuwa na Amani! (Waroma 16:20; 1 Wakorinto 15:24-28; 1 Yohana 3:8)
9:40 (15:40) Wimbo Mupya wa Pekee na Sala ya Mwisho