Siku ya Yenga
“Yehova anawangojea kwa uvumilivu ili awaonyeshe wema”—Isaya 30:18
Asubui
3:20 (9:20) Video ya Muziki
3:30 (9:30) Wimbo Na. 95 na Sala
3:40 (9:40) HOTUBA YENYE SEHEMU SABA: Manabii, Mufano wa Uvumilivu
• Eliya (Yakobo 5:10, 17, 18)
• Mika (Mika 7:7)
• Hosea (Hosea 3:1)
• Isaya (Isaya 7:3)
• Ezekieli (Ezekieli 2:3-5)
• Yeremia (Yeremia 15:16)
• Danieli (Danieli 9:22, 23)
5:05 (11:05) Wimbo Na. 142 na Matangazo
5:15 (11:15) HOTUBA YA WATU WOTE: Kweli Mungu Atakusaidia? (Isaya 64:4)
5:45 (11:45) Kifupi ya Munara wa Mulinzi
6:15 (12:15) Wimbo Na. 94 na Mapumuziko
Kisha Midi
7:35 (13:35) Video ya Muziki
7:45 (13:45) Wimbo Na. 114
7:50 (13:50) DRAMA: “Tia Njia Yako Katika Mukono wa Yehova”—Sehemu ya 2 (Zaburi 37:5)
8:30 (14:30) Wimbo Na. 115 na Matangazo
8:40 (14:40) “Yehova Anawangojea kwa Uvumilivu ili Awaonyeshe Wema” (Isaya 30:18-21; 60:17; 2 Wafalme 6:15-17; Waefeso 1:9, 10)
9:40 (15:40) Wimbo Mupya wa Pekee na Sala ya Mwisho