KISANDUKU CHA KUFUNDISHIA 8A
Unabii Juu ya Masiya—Muti Mukubwa wa Mwerezi
Maandishi
EZEKIELI 17:3-24
1. Nebukadneza anapeleka Yehoyakini Babiloni
2. Nebukadneza anaweka Sedekia ku kiti cha ufalme mu Yerusalemu
3. Sedekia anamuasi Yehova na anatafuta musaada wa kijeshi kule Misri
4. Yehova anaweka Mwana wake ku Mulima Sayuni wa mbinguni
5. Chini ya kivuli cha Ufalme wa Yesu, wanadamu watiifu wataishi kwa usalama