Siku ya Posho
“Mujisifu juu ya jina lake takatifu. Mioyo ya wale wenye kumutafuta Yehova ishangilie”—Zaburi 105:3
ASUBUI
3:20 (9:20) Video ya Muziki
3:30 (9:30) Wimbo Na. 53 na Sala
3:40 (9:40) HOTUBA YENYE SEHEMU SITA: Pata Furaha Katika Kazi ya Kufanya Wanafunzi—Komalisha Ufundi Wako
• Kwa Kuuliza Maulizo (Yakobo 1:19)
• Kwa Kusaidia Watu Wajionee Nguvu za Neno la Mungu (Waebrania 4:12)
• Kwa Kutumia Mifano ili Kukazia Mawazo Makubwa (Matayo 13:34, 35)
• Kwa Kufundisha kwa Uchangamufu (Waroma 12:11)
• Kwa Kujitia pa Nafasi ya Wengine (1 Watesalonike 2:7, 8)
• Kwa Kugusa Moyo wa Mwanafunzi (Mezali 3:1)
4:50 (10:50) Wimbo Na. 58 na Matangazo
5:00 (11:00) HOTUBA YENYE SEHEMU TATU: Namna ya Kupata Furaha Katika Kazi ya Kufanya Wanafunzi —Kubali Musaada wa Yehova
• Vyombo vya Kutusaidia Kutafuta Habari (1 Wakorinto 3:9; 2 Timoteo 3:16, 17)
• Ndugu na Dada (Waroma 16:3, 4; 1 Petro 5:9)
• Sala (Zaburi 127:1)
5:45 (11:45) HOTUBA YA UBATIZO: Namna Gani Ubatizo Wako Unakusaidia Kupata Furaha Kubwa? (Mezali 11:24; Ufunuo 4:11)
6:15 (12:15) Wimbo Na. 79 na Mapumuziko
KISHA MIDI
7:35 (13:35) Video ya Muziki
7:45 (13:45) Wimbo Na. 76
7:50 (13:50) Namna Ndugu na Dada Zetu Wako Wanapata Furaha Katika Kazi ya Kufanya Wanafunzi . . .
• Katika Afrika
• Katika Asia
• Katika Ulaya
• Katika Amerika ya Kaskazini
• Katika Oceania
• Katika Amerika ya Kusini
8:35 (14:35) HOTUBA YENYE SEHEMU TANO: Saidia Wanafunzi Wako . . .
• Wajikulishe Wenyewe Kiroho (Matayo 5:3; Yohana 13:17)
• Wahuzurie Mikutano (Zaburi 65:4)
• Waepuke Marafiki Wabaya (Mezali 13:20)
• Washinde Tabia za Mubaya (Waefeso 4:22-24)
• Wakuwe na Urafiki wa Kipekee Pamoja na Yehova (1 Yohana 4:8, 19)
9:30 (15:30) Wimbo Na. 110 na Matangazo
9:40 (15:40) FILME YENYE KUTEGEMEA BIBLIA: Nehemia: “Shangwe ya Yehova Ni Ngome Yenu”—Sehemu ya 1 (Nehemia 1:1–6:19)
10:15 (16:15) Kazi ya Kufanya Wanafunzi Leo Inatutayarisha ili Kufanya Wanafunzi Katika Dunia Mupya (Isaya 11:9; Matendo 24:15)
10:50 (16:50) Wimbo Na. 140 na Sala ya Mwisho