Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 152
  • Mahali Penye Kutakuletea Sifa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mahali Penye Kutakuletea Sifa
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tumusifu Yehova Mungu Wetu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuimbe Wimbo wa Ufalme!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Sema Vile Unajisikiaka
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tumusifu Mufalme Mupya wa Dunia
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 152

WIMBO 152

Mahali Penye Kutakuletea Sifa

(1 Wafalme 8:27; 1 Mambo ya Nyakati 29:14)

  1. 1. Mu’mbaji wa mbingu, Yehova,

    Mbingu hazikuenee,

    Hata makao ya dunia.

    Roho yako iko hapa.

    Kumejaa watu wengi na

    Nuru inawaongoza.

    Wanatumika kwa umoja;

    Hilo linakupendeza.

    (KILALO)

    Vyote tuko navyo

    Ni kwako vimetoka.

    Na umetupatia

    Vyote tunatoa.

    (KORASI)

    Kwa yote twashukuru sana;

    Sasa tunakuimbia.

    Umetutolea mahali

    Patakuletea sifa.

  2. 2. Tulihitaji Ee Yehova

    Mahali pa kukusifu

    Patatusaidia sisi,

    Na wengine wakutii.

    Patimize kusudi lako.

    Tungali na kazi kubwa,

    Tuko tayari kuifanya

    Kazi Yesu alisema.

    (KILALO)

    Kwa hiyo twatoa

    Wakati hata mali.

    Ni wewe wastahili​—

    Unatoa vyote.

    (KORASI)

    Kwa yote twashukuru sana;

    Sasa tunakuimbia.

    Umetutolea mahali

    Patakuletea sifa.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine