Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • CO-pgm23 uku. 4-5
  • Siku ya Posho

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Siku ya Posho
  • Programu ya Mukusanyiko wa 2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Siku ya Tano
    Programu ya Mukusanyiko wa 2023
  • Siku ya Posho
    Programu ya Mukusanyiko wa 2021
  • Siku ya Posho
    Programu ya Mukusanyiko wa 2017
  • Siku ya Yenga
    Programu ya Mukusanyiko wa 2024
Ona Habari Zaidi
Programu ya Mukusanyiko wa 2023
CO-pgm23 uku. 4-5
Picha: Mambo makubwa ya programu ya Siku ya Posho. 1. Watu wa familia wako nazungumuza kwa furaha kupitia vidéoconférence. 2. Mufalme iko nafikiri. 3. Baba iko na mutoto yake mwanaume ku soko.

Siku ya Posho

“Mukuwe wavumilivu kwa watu wote”​—1 Watesalonike 5:14

Asubui

  • 3:20 (9:20) Video ya Muziki

  • 3:30 (9:30) Wimbo Na. 58 na Sala

  • 3:40 (9:40) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: “Tunajipendekeza Sisi Wenyewe Kuwa Watumishi wa Mungu . . . kwa Uvumilivu”

    • • Wakati Tunahubiri (Matendo 26:29;2 Wakorinto 6:4-6)

    • • Wakati Tunafundisha Wanafunzi wa Biblia (Yohana 16:12)

    • • Wakati Tunatiana Moyo (1 Watesalonike 5:11)

    • • Wakati Uko Natumikia Ukiwa Muzee (2 Timoteo 4:2)

  • 4:30 (10:30) Nyiye Wenye Mulionyeshwa Uvumilivu, Muonyeshe Uvumilivu! (Matayo 7:1, 2; 18:23-35)

  • 4:50 (10:50) Wimbo Na. 138 na Matangazo

  • 5:00 (11:00) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: ‘Kwa Upole, Muvumiliane Katika Upendo’

    • • Watu wa Familia Wenye Hawako Mashahidi (Wakolosai 4:6)

    • • Bibi ao Bwana Yako (Mezali 19:11)

    • • Watoto Wenu (2 Timoteo 3:14)

    • • Watu wa Familia Wenye Kuwa na Ugonjwa Fulani ao Wenye Kuzeeka (Waebrania 13:16)

  • 5:45 (11:45) HOTUBA YA UBATIZO: Uvumilivu wa Yehova Ni Wokovu Wetu! (2 Petro 3:13-15)

  • 6:15 (12:15) Wimbo Na. 75 na Mapumuziko

Kisha Midi

  • 7:35 (13:35) Video ya Muziki

  • 7:45 (13:45) Wimbo Na. 106

  • 7:50 (13:50) Juu ya Nini Tukuwe Waangalifu na Mambo Yenye Inaweza Kutuletea Faida Palepale? (1 Watesalonike 4:3-5; 1 Yohana 2:17)

  • 8:15 (14:15) HOTUBA YENYE SEHEMU TANO: “Ni Muzuri Zaidi Kuwa Muvumilivu Kuliko Kuwa na Roho Yenye Majivuno”

    • • Uige Abeli, Hapana Adamu (Muhubiri 7:8)

    • • Uige Yakobo, Hapana Esau (Waebrania 12:16)

    • • Uige Musa, Hapana Kora (Hesabu 16:9, 10)

    • • Uige Samweli, Hapana Sauli (1 Samweli 15:22)

    • • Uige Yonatani, Hapana Absalomu (1 Samweli 23:16-18)

  • 9:15 (15:15) Wimbo Na. 87 na Matangazo

  • 9:25 (15:25) DRAMA: “Tia Njia Yako Katika Mukono wa Yehova”​—Sehemu ya 1 (Zaburi 37:5)

  • 9:55 (15:55) “Wakati Tunateswa, Tunavumilia kwa Subira” (1 Wakorinto 4:12; Waroma 12:14, 21)

  • 10:30 (16:30) Wimbo Na. 79 na Sala ya Mwisho

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine