Siku ya Posho
“Mukuwe wavumilivu kwa watu wote”—1 Watesalonike 5:14
Asubui
3:20 (9:20) Video ya Muziki
3:30 (9:30) Wimbo Na. 58 na Sala
3:40 (9:40) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: “Tunajipendekeza Sisi Wenyewe Kuwa Watumishi wa Mungu . . . kwa Uvumilivu”
• Wakati Tunahubiri (Matendo 26:29;2 Wakorinto 6:4-6)
• Wakati Tunafundisha Wanafunzi wa Biblia (Yohana 16:12)
• Wakati Tunatiana Moyo (1 Watesalonike 5:11)
• Wakati Uko Natumikia Ukiwa Muzee (2 Timoteo 4:2)
4:30 (10:30) Nyiye Wenye Mulionyeshwa Uvumilivu, Muonyeshe Uvumilivu! (Matayo 7:1, 2; 18:23-35)
4:50 (10:50) Wimbo Na. 138 na Matangazo
5:00 (11:00) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: ‘Kwa Upole, Muvumiliane Katika Upendo’
• Watu wa Familia Wenye Hawako Mashahidi (Wakolosai 4:6)
• Bibi ao Bwana Yako (Mezali 19:11)
• Watoto Wenu (2 Timoteo 3:14)
• Watu wa Familia Wenye Kuwa na Ugonjwa Fulani ao Wenye Kuzeeka (Waebrania 13:16)
5:45 (11:45) HOTUBA YA UBATIZO: Uvumilivu wa Yehova Ni Wokovu Wetu! (2 Petro 3:13-15)
6:15 (12:15) Wimbo Na. 75 na Mapumuziko
Kisha Midi
7:35 (13:35) Video ya Muziki
7:45 (13:45) Wimbo Na. 106
7:50 (13:50) Juu ya Nini Tukuwe Waangalifu na Mambo Yenye Inaweza Kutuletea Faida Palepale? (1 Watesalonike 4:3-5; 1 Yohana 2:17)
8:15 (14:15) HOTUBA YENYE SEHEMU TANO: “Ni Muzuri Zaidi Kuwa Muvumilivu Kuliko Kuwa na Roho Yenye Majivuno”
• Uige Abeli, Hapana Adamu (Muhubiri 7:8)
• Uige Yakobo, Hapana Esau (Waebrania 12:16)
• Uige Musa, Hapana Kora (Hesabu 16:9, 10)
• Uige Samweli, Hapana Sauli (1 Samweli 15:22)
• Uige Yonatani, Hapana Absalomu (1 Samweli 23:16-18)
9:15 (15:15) Wimbo Na. 87 na Matangazo
9:25 (15:25) DRAMA: “Tia Njia Yako Katika Mukono wa Yehova”—Sehemu ya 1 (Zaburi 37:5)
9:55 (15:55) “Wakati Tunateswa, Tunavumilia kwa Subira” (1 Wakorinto 4:12; Waroma 12:14, 21)
10:30 (16:30) Wimbo Na. 79 na Sala ya Mwisho