Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • CO-pgm23 uku. 2-8
  • Siku ya Tano

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Siku ya Tano
  • Programu ya Mukusanyiko wa 2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Siku ya Posho
    Programu ya Mukusanyiko wa 2023
  • Siku ya Yenga
    Programu ya Mukusanyiko wa 2024
  • Siku ya Tano
    Programu ya Mukusanyiko wa 2024
  • Siku ya Tano
    2019 Endelea Kuwa Mushikamanifu kwa Yehova!
Ona Habari Zaidi
Programu ya Mukusanyiko wa 2023
CO-pgm23 uku. 2-8
Picha: Mambo makubwa ya programu ya Siku ya Tano. 1. Mufalme Sauli anaingia mu pango mwenye Daudi na wanaume wake wako najificha. 2. Bibi na bwana wako mu mahubiri. 3. Pengwini wafalme na vitoto vyao.

Penguins: By courtesy of John R. Peiniger

Siku ya Tano

“Upendo ni wenye uvumilivu”​—1 Wakorinto 13:4

Asubui

  • 3:20 (9:20) Video ya Muziki

  • 3:30 (9:30) Wimbo Na. 66 na Sala

  • 3:40 (9:40) HOTUBA YA MWENYEKITI: Juu ya Nini ‘Tukuwe na Uvumilivu’? (Yakobo 5:7, 8; Wakolosai 1:9-11; 3:12)

  • 4:10 (10:10) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: “Kila Kitu Kiko na Wakati Wake Wenye Uliwekwa”

    • • Ufikiri Juu ya Mawazo ya Yehova Kuhusu Wakati (Muhubiri 3:1-8, 11)

    • • Inaomba Wakati Juu ya Kukomalisha Urafiki (Mezali 17:17)

    • • Inaomba Wakati Juu ya Kukomala Kiroho (Marko 4:26-29)

    • • Inaomba Wakati Juu ya Kutimiza Miradi (Muhubiri 11:4, 6)

  • 5:05 (11:05) Wimbo Na. 143 na Matangazo

  • 5:15 (11:15) USOMAJI WA BIBLIA WENYE KUCHEZWA: Daudi alimungojea Yehova (1 Samweli 24:2-15; 25:1-35; 26:2-12; Zaburi 37:1-7)

  • 5:45 (11:45) Furahia Utajiri wa Uvumilivu wa Mungu (Waroma 2:4, 6, 7; 2 Petro 3:8, 9; Ufunuo 11:18)

  • 6:15 (12:15) Wimbo Na. 147 na Mapumuziko

Kisha Midi

  • 7:35 (13:35) Video ya Muziki

  • 7:45 (13:45) Wimbo Na. 17

  • 7:50 (13:50) Iga Uvumilivu wa Yesu (Waebrania 12:2, 3)

  • 8:10 (14:10) HOTUBA YENYE SEHEMU SITA: Iga Wale Wenye Kupitia Uvumilivu Wanariti Ahadi

    • • Abrahamu na Sara (Waebrania 6:12)

    • • Yosefu (Mwanzo 39:7-9)

    • • Yobu (Yakobo 5:11)

    • • Mordekai na Esta (Esta 4:11-16)

    • • Zekaria na Elizabeti (Luka 1:6, 7)

    • • Paulo (Matendo 14:21, 22)

  • 9:10 (15:10) Wimbo Na. 11 na Matangazo

  • 9:20 (15:20) HOTUBA YENYE SEHEMU TANO: Mambo Yenye Uumbaji Unatufundisha Juu ya Mawazo ya Yehova Kuhusu Wakati

    • • Mimea (Matayo 24:32, 33)

    • • Viumbe vya mu Bahari (2 Wakorinto 6:2)

    • • Ndege (Yeremia 8:7)

    • • Vidudu (Mezali 6:6-8; 1 Wakorinto 9:26)

    • • Viumbe Vya Kunyonyesha (Muhubiri 4:6; Wafilipi 1:9, 10)

  • 10:20 (16:20) “Hamujue Siku Wala Saa” (Matayo 24:36; 25:13, 46)

  • 10:55 (16:55) Wimbo Na. 27 na Sala ya Mwisho

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine