Penguins: By courtesy of John R. Peiniger
Siku ya Tano
“Upendo ni wenye uvumilivu”—1 Wakorinto 13:4
Asubui
3:20 (9:20) Video ya Muziki
3:30 (9:30) Wimbo Na. 66 na Sala
3:40 (9:40) HOTUBA YA MWENYEKITI: Juu ya Nini ‘Tukuwe na Uvumilivu’? (Yakobo 5:7, 8; Wakolosai 1:9-11; 3:12)
4:10 (10:10) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: “Kila Kitu Kiko na Wakati Wake Wenye Uliwekwa”
• Ufikiri Juu ya Mawazo ya Yehova Kuhusu Wakati (Muhubiri 3:1-8, 11)
• Inaomba Wakati Juu ya Kukomalisha Urafiki (Mezali 17:17)
• Inaomba Wakati Juu ya Kukomala Kiroho (Marko 4:26-29)
• Inaomba Wakati Juu ya Kutimiza Miradi (Muhubiri 11:4, 6)
5:05 (11:05) Wimbo Na. 143 na Matangazo
5:15 (11:15) USOMAJI WA BIBLIA WENYE KUCHEZWA: Daudi alimungojea Yehova (1 Samweli 24:2-15; 25:1-35; 26:2-12; Zaburi 37:1-7)
5:45 (11:45) Furahia Utajiri wa Uvumilivu wa Mungu (Waroma 2:4, 6, 7; 2 Petro 3:8, 9; Ufunuo 11:18)
6:15 (12:15) Wimbo Na. 147 na Mapumuziko
Kisha Midi
7:35 (13:35) Video ya Muziki
7:45 (13:45) Wimbo Na. 17
7:50 (13:50) Iga Uvumilivu wa Yesu (Waebrania 12:2, 3)
8:10 (14:10) HOTUBA YENYE SEHEMU SITA: Iga Wale Wenye Kupitia Uvumilivu Wanariti Ahadi
• Abrahamu na Sara (Waebrania 6:12)
• Yosefu (Mwanzo 39:7-9)
• Yobu (Yakobo 5:11)
• Mordekai na Esta (Esta 4:11-16)
• Zekaria na Elizabeti (Luka 1:6, 7)
• Paulo (Matendo 14:21, 22)
9:10 (15:10) Wimbo Na. 11 na Matangazo
9:20 (15:20) HOTUBA YENYE SEHEMU TANO: Mambo Yenye Uumbaji Unatufundisha Juu ya Mawazo ya Yehova Kuhusu Wakati
• Mimea (Matayo 24:32, 33)
• Viumbe vya mu Bahari (2 Wakorinto 6:2)
• Ndege (Yeremia 8:7)
• Vidudu (Mezali 6:6-8; 1 Wakorinto 9:26)
• Viumbe Vya Kunyonyesha (Muhubiri 4:6; Wafilipi 1:9, 10)
10:20 (16:20) “Hamujue Siku Wala Saa” (Matayo 24:36; 25:13, 46)
10:55 (16:55) Wimbo Na. 27 na Sala ya Mwisho