Siku ya Tano
“MUMEFUNDISHWA NA MUNGU KUPENDANA”—1 WATESALONIKE 4:9
ASUBUI
3:20 (9:20) Video ya Muziki
3:30 (9:30) Wimbo Na. 105 na Sala
3:40 (9:40) HOTUBA YA MWENYEKITI: “Upendo Haushindwe Hata Kidogo”—Juu ya Nini? (Waroma 8:38, 39; 1 Wakorinto 13:1-3, 8, 13)
4:15 (10:15) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: Epuka Kutumainia Mambo Yenye Itaisha!
Mali (Matayo 6:24)
Cheo na Kujulikana Sana (Muhubiri 2:16; Waroma 12:16)
Hekima ya Wanadamu (Waroma 12:1, 2)
Nguvu na Uzuri wa Sura (Mezali 31:30; 1 Petro 3:3, 4)
5:05 (11:05) Wimbo Na. 40 na Matangazo
5:15 (11:15) MUCHEZO WENYE KUTEGEMEA BIBLIA WA KUSIKILIZA TU: Yehova Aliendelea Kuonyesha Upendo Mushikamanifu (Mwanzo 37:1-36; 39:1–47:12)
5:45 (11:45) Yehova Anapenda Wale Wenye Kumupenda Mwana Wake (Matayo 25:40; Yohana 14:21; 16:27)
6:15 (12:15) Wimbo Na. 20 na Mapumuziko
KISHA MIDI
7:25 (13:25) Video ya Muziki
7:35 (13:35) Wimbo Na. 107
7:40 (13:40) HOTUBA YENYE SEHEMU SITA: Upendo Haushindwe Hata Kidogo . . .
Hata Kama Ulikomalia Katika Familia Yenye Haina Upendo (Zaburi 27:10)
Hata Kama Unatendewa Mubaya Kwenye Kazi (1 Petro 2:18-20)
Hata Kama Sheria na Kanuni za Mungu Haziheshimiwe Kwenye Masomo (1 Timoteo 4:12)
Hata Kama Uko na Matatizo ya Afya Yenye Kukawia (2 Wakorinto 12:9, 10)
Hata Kama Uko Katika Umaskini (Wafilipi 4:12, 13)
Hata Kama Watu wa Familia Yako Wanakupinga (Matayo 5:44)
8:50 (14:50) Wimbo Na. 141 na Matangazo
9:00 (15:00) HOTUBA YENYE SEHEMU TANO: Uumbaji Unaonyesha Upendo wa Yehova
Mbingu (Zaburi 8:3, 4; 33:6)
Dunia (Zaburi 37:29; 115:16)
Mimea (Mwanzo 1:11, 29; 2:9, 15; Matendo 14:16, 17)
Wanyama (Mwanzo 1:27; Matayo 6:26)
Mwili wa Mwanadamu (Zaburi 139:14; Muhubiri 3:11)
9:55 (15:55) “Wale Wenye Yehova Anapenda Anawatia Nizamu” (Waebrania 12:5-11; Zaburi 19:7, 8, 11)
10:15 (16:15) “Muvae Upendo” (Wakolosai 3:12-14)
10:50 (16:50) Wimbo Na. 130 na Sala ya Mwisho