Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • CO-pgm22 uku. 2-3
  • Siku ya Tano

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Siku ya Tano
  • Programu ya Mukusanyiko wa 2022
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Siku ya Posho
    Programu ya Mukusanyiko wa 2022
  • Siku ya Tano
    2019 Endelea Kuwa Mushikamanifu kwa Yehova!
  • Siku ya Yenga
    Programu ya Mukusanyiko wa 2022
  • Siku ya Yenga
    Programu ya Mukusanyiko wa 2024
Ona Habari Zaidi
Programu ya Mukusanyiko wa 2022
CO-pgm22 uku. 2-3
Rangi ya bluu na ya kijani.

Siku ya Tano

“Yehova atabariki watu wake kwa amani”​—Zaburi 29:11

Asubui

  • 3:20 (9:20) Video ya Muziki

  • 3:30 (9:30) Wimbo Na. 86 na Sala

  • 3:40 (9:40) HOTUBA YA MWENYEKITI: Yehova Ni “Mungu Mwenye Anatoa Amani” (Waroma 15:33; Wafilipi 4:6, 7)

  • 4:10 (10:10) HOTUBA YENYE SEHEMU TATU: Namna Upendo Unaleta Amani ya Kweli

    • • Kumupenda Mungu (Matayo 22:37, 38; Waroma 12:17-19)

    • • Kupenda Jirani (Matayo 22:39; Waroma 13:8-10)

    • • Kupenda Neno ya Mungu (Zaburi 119:165, 167, 168)

  • 5:05 (11:05) Wimbo Na. 24 na Matangazo

  • 5:15 (11:15) USOMAJI WA BIBLIA WENYE KUCHEZWA: Yakobo​—Mwanaume Mwenye Alipenda Amani (Mwanzo 26:12–33:11)

  • 5:45 (11:45) “Matokeo ya Haki ya Kweli Yatakuwa Amani” (Isaya 32:17; 60:21, 22)

  • 6:15 (12:15) Wimbo Na. 97 na Mapumuziko

Kisha Midi

  • 7:35 (13:35) Video ya Muziki

  • 7:45 (13:45) Wimbo Na. 144

  • 7:50 (13:50) HOTUBA YENYE SEHEMU TANO: Furahia Ahadi ya Mungu Kuhusu Amani

    • • “Watumishi Wangu Watakula . . . Watumishi Wangu Watakunywa” (Isaya 65:13, 14)

    • • “Watajenga Nyumba na . . . Watapanda Mashamba ya Mizabibu” (Isaya 65:21-23)

    • • “Imbwa wa Pori na Mwana-Kondoo Watakula Pamoja” (Isaya 11:6-9; 65:25)

    • • “Hakuna Mukaaji Mwenye Atasema: ‘Niko Mugonjwa’” (Isaya 33:24; 35:5, 6)

    • • “Atameza Kifo Milele” (Isaya 25:7, 8)

  • 8:50 (14:50) Wimbo Na. 35 na Matangazo

  • 9:00 (15:00) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: Mambo ya Kufanya Juu ya Kuwa na Amani mu Familia

    • • Muonyeshane Upendo na Heshima (Waroma 12:10)

    • • Mufanye Mazungumuzo Yenu Ikuwe Muzuri Zaidi (Waefeso 5:15, 16)

    • • Mutumike kwa Umoja (Matayo 19:6)

    • • Mumuabudu Yehova Pamoya (Yoshua 24:15)

  • 9:55 (15:55) Tegemeza kwa Ushikamanifu “Mukubwa wa Amani” (Isaya 9:6, 7; Tito 3:1, 2)

  • 10:15 (16:15) Amani ya Uongo Isikudanganye! (Matayo 4:1-11; Yohana 14:27; 1 Watesalonike 5:2, 3)

  • 10:50 (16:50) Wimbo Na. 112 na Sala ya Mwisho

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine