Siku ya Tano
“Yehova atabariki watu wake kwa amani”—Zaburi 29:11
Asubui
3:20 (9:20) Video ya Muziki
3:30 (9:30) Wimbo Na. 86 na Sala
3:40 (9:40) HOTUBA YA MWENYEKITI: Yehova Ni “Mungu Mwenye Anatoa Amani” (Waroma 15:33; Wafilipi 4:6, 7)
4:10 (10:10) HOTUBA YENYE SEHEMU TATU: Namna Upendo Unaleta Amani ya Kweli
• Kumupenda Mungu (Matayo 22:37, 38; Waroma 12:17-19)
• Kupenda Jirani (Matayo 22:39; Waroma 13:8-10)
• Kupenda Neno ya Mungu (Zaburi 119:165, 167, 168)
5:05 (11:05) Wimbo Na. 24 na Matangazo
5:15 (11:15) USOMAJI WA BIBLIA WENYE KUCHEZWA: Yakobo—Mwanaume Mwenye Alipenda Amani (Mwanzo 26:12–33:11)
5:45 (11:45) “Matokeo ya Haki ya Kweli Yatakuwa Amani” (Isaya 32:17; 60:21, 22)
6:15 (12:15) Wimbo Na. 97 na Mapumuziko
Kisha Midi
7:35 (13:35) Video ya Muziki
7:45 (13:45) Wimbo Na. 144
7:50 (13:50) HOTUBA YENYE SEHEMU TANO: Furahia Ahadi ya Mungu Kuhusu Amani
• “Watumishi Wangu Watakula . . . Watumishi Wangu Watakunywa” (Isaya 65:13, 14)
• “Watajenga Nyumba na . . . Watapanda Mashamba ya Mizabibu” (Isaya 65:21-23)
• “Imbwa wa Pori na Mwana-Kondoo Watakula Pamoja” (Isaya 11:6-9; 65:25)
• “Hakuna Mukaaji Mwenye Atasema: ‘Niko Mugonjwa’” (Isaya 33:24; 35:5, 6)
• “Atameza Kifo Milele” (Isaya 25:7, 8)
8:50 (14:50) Wimbo Na. 35 na Matangazo
9:00 (15:00) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: Mambo ya Kufanya Juu ya Kuwa na Amani mu Familia
• Muonyeshane Upendo na Heshima (Waroma 12:10)
• Mufanye Mazungumuzo Yenu Ikuwe Muzuri Zaidi (Waefeso 5:15, 16)
• Mutumike kwa Umoja (Matayo 19:6)
• Mumuabudu Yehova Pamoya (Yoshua 24:15)
9:55 (15:55) Tegemeza kwa Ushikamanifu “Mukubwa wa Amani” (Isaya 9:6, 7; Tito 3:1, 2)
10:15 (16:15) Amani ya Uongo Isikudanganye! (Matayo 4:1-11; Yohana 14:27; 1 Watesalonike 5:2, 3)
10:50 (16:50) Wimbo Na. 112 na Sala ya Mwisho