Siku ya Posho
‘Mupatikane . . . mukiwa bila doa na uchafu na mukiwa katika amani’—2 Petro 3:14
Asubui
3:20 (9:20) Video ya Muziki
3:30 (9:30) Wimbo Na. 58 na Sala
3:40 (9:40) HOTUBA YENYE SEHEMU TANO: Ukuwe Tayari Kutangaza “Habari Njema ya Amani”
• Usipunguze Bidii Yako (Waroma 1:14, 15)
• Ujitayarishe Muzuri (2 Timoteo 2:15)
• Tafuta Nafasi za Kuhubiri (Yohana 4:6, 7, 9, 25, 26)
• Fuatilia Upendezi (1 Wakorinto 3:6)
• Usaidie Mwanafunzi Akomale Kiroho (Waebrania 6:1)
4:40 (10:40) Vijana—Muchague Njia Yenye Itafanya Mukuwe na Amani! (Matayo 6:33; Luka 7:35; Yakobo 1:4)
5:00 (11:00) Wimbo Na. 135 na Matangazo
5:10 (11:10) VIDEO: Namna Ndugu na Dada Zetu Wako Nafurahia Amani Hata Kama . . .
• Wanapata Upinzani
• Wako Wagonjwa
• Wako na Magumu ya Kupata Makuta
• Wanapatwa na Misiba ya Asili
5:45 (11:45) HOTUBA YA UBATIZO: Endelea Kutembea “Katika Njia ya Amani” (Luka 1:79; 2 Wakorinto 4:16-18; 13:11)
6:15 (12:15) Wimbo Na. 54 na Mapumuziko
Kisha Midi
7:35 (13:35) Video ya Muziki
7:45 (13:45) Wimbo Na. 29
7:50 (13:50) HOTUBA YENYE SEHEMU TANO: ‘Ondoa’ Mambo Yenye Inapoteza Amani
• Kujisifu Kwenye Hakufae (Waefeso 4:22; 1 Wakorinto 4:7)
• Wivu (Wafilipi 2:3, 4)
• Udanganyifu (Waefeso 4:25)
• Kusema Wengine Mubaya (Mezali 15:28)
• Kasirani Kali (Yakobo 1:19)
8:45 (14:45) DRAMA YENYE KUTEGEMEA BIBLIA: Yehova Anatuongoza mu Njia ya Amani—Sehemu ya 1 (Isaya 48:17, 18)
9:15 (15:15) Wimbo Na. 130 na Matangazo
9:25 (15:25) HOTUBA YENYE SEHEMU INE: ‘Tafuta Amani na Uifuatilie’ . . .
• Usikwazike Haraka (Mezali 19:11; Muhubiri 7:9; 1 Petro 3:11)
• Uombe Musamaha (Matayo 5:23, 24; Matendo 23:3-5)
• Usamehe kwa Kupenda (Wakolosai 3:13)
• Utumie Ulimi kwa Hekima (Mezali 12:18; 18:21)
10:15 (16:15) Linda ‘Kifungo Chetu Chenye Kuunganisha cha Amani’! (Waefeso 4:1-6)
10:50 (16:50) Wimbo Na. 113 na Sala ya Mwisho