Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • lmd somo 11
  • Kufundisha mu Njia ya Mwepesi

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kufundisha mu Njia ya Mwepesi
  • Penda Watu—Juu Ufanye Wanafunzi
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mambo Yenye Yesu Alifanya
  • Mufano wa Yesu Unatufundisha Nini?
  • Umuige Yesu
  • Saidia Mwanafunzi Wako wa Biblia Afikie Kubatizwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2021
  • Namna ya Kuongoza Funzo ya Biblia kwa Kutumia “Furahia Maisha Milele!”
    Penda Watu—Juu Ufanye Wanafunzi
  • Ujitayarishe Vizuri Ili Kufundisha
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Namna ya Kusaidia Wanafunzi wa Biblia Wafikie Kubatizwa—Sehemu ya Pili
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
Ona Habari Zaidi
Penda Watu—Juu Ufanye Wanafunzi
lmd somo 11

KUFANYA WANAFUNZI

Yesu iko nafundisha watu karibu na bahari. Pembeni kuko maua na juu ndege wako naruka.

Mt. 6:25-27

SOMO YA 11

Kufundisha mu Njia ya Mwepesi

Kanuni: ‘Museme . . . maneno yenye kueleweka kwa urahisi.’​—1 Ko. 14:9.

Mambo Yenye Yesu Alifanya

Yesu iko nafundisha watu karibu na bahari. Pembeni kuko maua na juu ndege wako naruka.

VIDEO: Yesu Anaonyesha Namna Baba Yetu Anatuhangaikiaka

1. Angalia VIDEO, ao usome Matayo 6:25-27. Kisha ufikirie maulizo yenye kufuata:

  1. Namna gani Yesu alionyesha kama Yehova anatuhangaikiaka?

  2. Hata kama Yesu alijua mambo mingi juu ya ndege, alikazia maelezo gani ya mwepesi mu mufano wake? Juu ya nini tunaweza kusema kama ile njia ya kufundisha ilikuwa ya muzuri?

Mufano wa Yesu Unatufundisha Nini?

2. Wakati tunafundisha mu njia ya mwepesi, watu watakumbuka mambo yenye tuliwafundisha na tutagusa mioyo yao.

Umuige Yesu

3. Usiseme mingi. Kuliko kusema yote yenye unajua juu ya habari, zungumuzia mambo yenye iko mu kichapo yenye muko najifunza. Kisha kuuliza ulizo, uchunge mwanafunzi wako ajibie. Kama hajue jibu ao kama jibu yake haipatane na mafundisho ya Biblia, tumia maulizo ingine juu ya kumusaidia afikie kupata jibu. Kama tu mwanafunzi alishaelewa wazo kubwa, mupite ku jambo yenye kufuata.

4. Saidia mwanafunzi wako apatanishe mafundisho ya mupya na ile yenye alishajua. Kwa mufano, mbele ya kuanza kuzungumuzia somo yenye inahusu ufufuo, unaweza kurudilia kwa kifupi mambo yenye mwanafunzi alishajifunza kuhusu hali ya watu wenye walishakufa.

5. Tumia muzuri mifano. Mbele ya kutoa mufano, ujiulize hivi:

  1. ‘Hii mufano iko ya mwepesi?’

  2. ‘Mwanafunzi anaweza kuielewa bila magumu?’

  3. ‘Itamusaidia akumbuke habari kubwa, kuliko tu kukumbuka mufano?’

ONA PIA

Mt. 11:25; Yoh. 16:12; 1 Ko. 2:1

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine