Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • syr23 uku. 2
  • Jumla ya Hesabu ya 2023

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Jumla ya Hesabu ya 2023
  • Ripoti ya Mwaka wa Utumishi ya Mashahidi wa Yehova Katika Dunia Yote ya 2023
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Jumla ya Hesabu ya 2022
    Ripoti ya Mwaka wa Utumishi ya Mashahidi wa Yehova Katika Dunia Yote ya 2022
  • Jumla ya Hesabu ya 2024
    2024 Ripoti ya Mwaka wa Utumishi ya Mashahidi wa Yehova Katika Dunia Yote
  • Jumla ya Hesabu ya 2021
    Ripoti ya Mwaka wa Utumishi ya Mashahidi wa Yehova Katika Dunia Yote ya 2021
  • Jumla ya Hesabu ya 2019
    Ripoti ya Mwaka wa Utumishi ya Mashahidi wa Yehova Katika Dunia Yote ya 2019
Ona Habari Zaidi
Ripoti ya Mwaka wa Utumishi ya Mashahidi wa Yehova Katika Dunia Yote ya 2023
syr23 uku. 2

Jumla ya Hesabu ya 2023

  • Biro za Tawi za Mashahidi wa Yehova: 85

  • Hesabu ya Inchi Zenye Kutoa Ripoti: 239

  • Jumla ya Makutaniko: 118 177

  • Huzurio ya Ukumbusho Katika Dunia Yote: 20 461 767

  • Wenye Walikula Mukate na Kunywa Divai Kwenye Ukumbusho Katika Dunia Yote: 22 312

  • Hesabu ya Wahubiria: 8 816 562

  • Kadirio ya Wahubiri Wenye Kuhubiri Kila Mwezi: 8 625 042

  • Asilimia ya Ongezeko Kupita Mwaka wa 2022: 1.3

  • Jumla ya Watu Wenye Walibatizwab: 269 517

  • Kadirio ya Mapainiac Kila Mwezi: 1 570 906

  • Kadirio ya Mapainia Wasaidizi Kila Mwezi: 738 457

  • Jumla ya Saa Zenye Zilitumiwa Katika Kazi ya Kuhubiri: 1 791 490 713

  • Kadirio ya Mafunzo ya Bibliad Kila Mwezi: 7 281 212

Mwaka wa Utumishi wa 2022 ulianza tarehe 1 Mwezi wa 9, 2022 na utaisha tarehe 31 Mwezi wa 8, 2023.

a Muhubiri ni mutu mwenye kutangaza ao kuhubiri kwa bidii habari njema juu ya Ufalme wa Mungu. (Matayo 24:​14) Ili kupata maelezo zaidi juu ya namna ile hesabu inafanywa, ona ku jw.org habari yenye kichwa “Kuko Mashahidi wa Yehova Ngapi Katika Dunia Yote?”

b Ili kupata habari zaidi juu ya mambo yenye mutu anapaswa kufanya ili abatizwe na kuwa Shahidi wa Yehova, ona ku jw.org habari yenye kichwa “Nifanye Nini ili Nikuwe Shahidi wa Yehova?”

c Painia ni Shahidi wa Yehova mwenye kubatizwa mwenye kuwa mufano muzuri na mwenye anajitolea ili kutimiza hesabu fulani ya saa kila mwezi katika kazi ya kuhubiri habari njema.

d Ili kupata habari zaidi, ona ku jw.org habari yenye kichwa “Funzo la Biblia Ni Nini?”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine