Jumla ya Hesabu ya 2024
Biro za Tawi za Mashahidi wa Yehova: 84
Hesabu ya Inchi Zenye Kutoa Ripoti: 240
Jumla ya Makutaniko: 118767
Huzurio ya Ukumbusho Katika Dunia Yote: 21119442
Wenye Walikula Mukate na Kunywa Divai Kwenye Ukumbusho Katika Dunia Yote: 23212
Hesabu ya Wahubiria: 9043460
Kadirio ya Wahubiri Wenye Kuhubiri Kila Mwezi: 8828124
Asilimia ya Ongezeko Kupita Mwaka wa 2023: 2.4
Jumla ya Watu Wenye Walibatizwab: 296267
Kadirio ya Mapainiac Kila Mwezi: 1679026
Kadirio ya Mapainia Wasaidizi Kila Mwezi: 867502
Kadirio ya Mafunzo ya Bibliad Kila Mwezi: 7480146
Mwaka wa Utumishi wa 2024 ulianza tarehe 1 Mwezi wa 9, 2023, na utaisha tarehe 31 Mwezi wa 8, 2024.
a Muhubiri ni mutu mwenye kutangaza ao kuhubiri kwa bidii habari njema juu ya Ufalme wa Mungu. (Matayo 24:14) Ili kupata maelezo zaidi juu ya namna ile hesabu inafanywa, ona ku habari yenye kichwa “Kuko Mashahidi wa Yehova Ngapi Katika Dunia Yote?”
b Ili kupata habari zaidi juu ya mambo yenye mutu anapaswa kufanya ili abatizwe na kuwa Shahidi wa Yehova, ona ku habari yenye kichwa “Nifanye Nini ili Nikuwe Shahidi wa Yehova?”
c Painia ni Shahidi wa Yehova mwenye kubatizwa mwenye kuwa mufano muzuri na mwenye anajitolea ili kutimiza hesabu fulani ya saa kila mwezi katika kazi ya kuhubiri habari njema.
d Ili kupata habari zaidi, ona ku habari yenye kichwa “Funzo la Biblia Ni Nini?”