Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w13 15/7 uku. 26
  • Mushiriki Mupya wa Baraza Linaloongoza

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mushiriki Mupya wa Baraza Linaloongoza
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ndugu Mupya wa Baraza Lenye Kuongoza
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
  • Mkutano wa Kihistoria
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • ‘Aliijua njia’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Baraza Yenye Kuongoza ya Mashahidi wa Yehova Ni Nini?
    Maulizo Yenye Watu Wanaulizaka Sana Juu ya Mashahidi wa Yehova
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 15/7 uku. 26
[Picha katika ukurasa wa 26]

Mushiriki Mupya wa Baraza Linaloongoza

Siku ya Tatu asubuhi, tarehe 5 Mwezi wa 9, 2012, tangazo lilitolewa kwa Wanabeteli wa États-Unis na Canada kwamba mushiriki mupya ameongezwa kwenye Baraza Linaloongoza la Mashahidi wa Yehova. Yeye ni Ndugu Mark Sanderson, na alianza kutumika kwenye Baraza Linaloongoza tarehe 1 Mwezi wa 9, 2012.

Ndugu Sanderson alikomalia katika muji wa San Diego, California, États-Unis. Alilelewa na wazazi Mashahidi na alibatizwa tarehe 9 Mwezi wa 2, 1975. Alianza kazi ya upainia katika Saskatchewan, Canada, tarehe 1 Mwezi wa 9, 1983. Katika Mwezi wa 12, 1990, alimaliza Shule ya Mazoezi ya Kihuduma (inayoitwa sasa, Masomo ya Biblia kwa Ajili ya Ndugu Wasio na Bibi) huko États-Unis. Katika Mwezi wa 4, 1991, Ndugu Sanderson alitumwa kufanya kazi ya upainia wa pekee katika kisiwa cha Terre-Neuve, Canada. Kisha kufanya kazi ya mwangalizi wa badala, alialikwa kwenye Beteli ya Canada katika Mwezi wa 2, 1997. Katika Mwezi wa 11, 2000, alitumwa kwenye Beteli ya États-Unis, ambako alitumika katika Biro ya Huduma za Habari za Kihospitali na baadaye alitumika katika Biro ya Utumishi.

Katika Mwezi wa 9, 2008, Ndugu Sanderson alialikwa kwenye Masomo ya Washiriki wa Halmashauri ya Tawi na baadaye alitumika katika Halmashauri ya Tawi ya Philippines. Katika Mwezi wa 9, 2010, aliitwa tena kwenye Beteli ya États-Unis, ambako alitumika akiwa musaidizi katika Halmashauri Utumishi ya Baraza Linaloongoza.

Washiriki wa siku hizi wa Baraza Linaloongoza

[Picha]

Mustari wa nyuma, kushoto kuelekea kuume: David Splane, Anthony Morris III, Mark Sanderson, Geoffrey Jackson, Stephen Lett. Mustari wa mbele, kushoto kuelekea kuume: Samuel Herd, Gerrit Lösch, Guy Pierce. Washiriki wote wa Baraza Linaloongoza ni Wakristo watiwa-mafuta

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine