Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • w15 1/9 uku. 16
  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Unabii mbalimbali wa Biblia unatusaidia namna gani?
  • Ufalme wa Mungu Uko Natawala!
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
  • Video: Biblia—Simulizi la Kihistoria la Kweli, Unabii Wenye Kutegemeka
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Tujifunze Mambo Fulani Kupitia Maunabii Yenye Kuwa mu Biblia
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2023
  • 2A Habari za Kujua Ili Kuelewa Maunabii ya Ezekieli
    Ibada Safi ya Yehova Inarudishwa Tena!
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
w15 1/9 uku. 16

MAULIZO JUU YA HABARI ZA BIBLIA YANAJIBIWA

Sababu gani Biblia iko na unabii mbalimbali?

Kwenye Mulima wa Mizeituni, Yesu anazungumuza na mitume wake fulani

Sababu gani Biblia inaeleza mambo yenye kutokea leo?—Luka 21:10, 11.

Unabii mbalimbali wenye mafasirio mengi unapatikana katika Biblia. Hakuna mutu anaweza kutabiri wakati unaokuja kwa kutoa mafasirio mengi. Kwa hiyo, kutimizwa kwa unabii mbalimbali wa Biblia kunatupatia uhakika kama Biblia ni Neno la Mungu.—Soma Yoshua 23:14; 2 Petro 1:20, 21.

Unabii mbalimbali wa Biblia wenye umekwisha kutimia unatupatia sababu ya muzuri ya kuamini Mungu. (Waebrania 11:1) Tena, unatupatia uhakika wa kwamba ahadi za Mungu juu ya wakati muzuri unaokuja zitatimia. Kwa hiyo, unabii wa Biblia unatupatia tumaini lenye kuwa hakika.—Soma Zaburi 37:29; Waroma 15:4.

Unabii mbalimbali wa Biblia unatusaidia namna gani?

Unabii fulani unaambia watumishi wa Mungu watende jambo fulani. Kwa mufano, wakati Wakristo wa kwanza waliona unabii fulani juu ya Yerusalemu unatimizwa, walitoka katika muji huo. Kisha, wakati muji huo uliharibiwa kwa sababu watu wengi walikataa Yesu, Wakristo walikuwa mbali katika nafasi salama.—Soma Luka 21:20-22.

Leo, unabii mbalimbali wenye umekwisha kutimia, unaonyesha kama hivi karibuni Ufalme wa Mungu utaharibisha serikali zote za wanadamu. (Danieli 2:44; Luka 21:31) Kwa hiyo, ni jambo la haraka kila mutu afanye nguvu sana ili akubaliwe na Yesu Kristo, Mufalme mwenye Mungu ameweka.—Soma Luka 21:34-36.

Ili kupata habari zingine, soma sura ya 2 ya kitabu hiki, chenye kilichapishwa na Mashahidi wa Yehova

Unaweza pia kupata kitabu hiki kwenye adresi yetu ya Internete www.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine