Utangulizi
UNAWAZA NAMNA GANI?
Kifo ni mapenzi ya Mungu? Biblia inasema: “[Mungu] atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena.”—Ufunuo 21:4.
Munara wa Mulinzi huu unazungumuzia mambo yenye Biblia inasema juu ya uzima na kifo.