Habari Za Kitheokrasi
Bénin: Mnamo Novemba, wahubiri 5 331 waliripotiwa, jambo linalofanyiza kilele cha 59 mfululizo.
Chypre: Kupitia asilimia 2 ya ongezeko mnamo Novemba, kilele kipya cha wahubiri 1 758 kilifikiwa. Kulikuwako pia hesabu kubwa zaidi ya mapainia wa kawaida 136.
India: Maendeleo mazuri yalifanywa katika mahubiri, kwa kuwa wahubiri 18 077 walitoa ripoti mnamo Novemba. Hicho ni kilele cha 39 mfululizo.
Liberia: Mnamo Novemba, kulikuwako hesabu kubwa ya wahubiri 2 120.
Taïwan: Tangu mwanzo wa mwaka wa utumishi, hesabu ya wastani wa wahubiri ni 3 516, sawa na ongezeko la asilimia 6 kwa kulinganisha na mwaka uliopita.
Visiwa vya Solomon: Hesabu ya wahubiri ilifikia kilele kipya mnamo Novemba, kwa ripoti 1 393.