Habari Za Kitheokrasi
Albania: Mnamo Agosti, kuliripotiwa wahubiri 600. Hicho ni kilele cha 28 mfululizo.
Angola: Mwishoni mwa mwaka wa utumishi, kulifikiwa hesabu ya juu zaidi ya wahubiri 26,129. Kuliripotiwa kilele cha mapainia wa kawaida 1,309. Mnamo Agosti, wahubiri walifanya kwa wastani saa 15 katika mahubiri na kuongoza mafunzo ya Biblia 2 kila mmoja.
Chili: Mnamo Agosti, kulifikiwa kilele kipya: wahubiri 50,283. Ni mara ya kwanza kiwango cha wahubiri 50,000 kilivukwa. Wahubiri walifanya kwa wastani saa 12 katika mahubiri, na mafunzo ya Biblia 63,732 yaliongozwa.
Uingereza: Sisi ni wenye furaha kuwajulisha kwamba mnamo Agosti kilele kipya cha wahubiri 132,440 kilifikiwa. Hesabu hiyo inalingana na ongezeko la asilimia 2 kwa kulinganisha na mwaka wa nyuma.