Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 1 uku. 1
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • MUNARA WA MULINZI
  • MUNARA WA MULINZI (ukurasa wa mwisho)
  • HABARI NJEMA INAYOTOKA KWA MUNGU!
  • ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 1 uku. 1
[Picha katika ukurasa wa 1]Dada wanahubiri kwa kutumia broshua Habari Njema katika inchi ya Madagascar

Dada wanahubiri kwa kutumia broshua Habari Njema katika inchi ya Madagascar

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

MUNARA WA MULINZI

Jalada la gazeti Munara wa Mulinzi, Mwezi wa 1, 2016 | Sababu Gani Ni Muzuri Kuwa Muaminifu?

Ulizo: Unafikiri kwamba dunia ingekuwa mahali pazuri kabisa kama kila mutu angeishi kulingana na kanuni hii?

Andiko: Ebr 13:18

Namna ya Kutoa Gazeti: Biblia inatutia moyo tuendelee kuwa waaminifu katika mambo yote. Uaminifu kama huo unahusu kila sehemu ya maisha yetu. Munara wa Mulinzi huu utazungumuzia jambo hilo.

MUNARA WA MULINZI (ukurasa wa mwisho)

Ulizo: Nilipenda kujua mawazo yako juu ya ulizo hili. [Soma ulizo la kwanza.] Watu fulani wanafikiri kwamba wakati tunakufa, tunaendelea kuishi mahali pengine, lakini wengine wanaamini kama kifo ni mwisho wa mambo yote. Weye, unaamini nini?

Andiko: Mhu 9:5

Namna ya Kutoa Gazeti: Habari hii, inafasiria mawazo ya Biblia kuhusu jambo hilo. Tafazali, uisome na nitakuja ili tuizungumuzie siku ingine.

HABARI NJEMA INAYOTOKA KWA MUNGU!

Jalada la broshua Habari Njema Inayotoka kwa Mungu!

Namna ya Kutoa Broshua: Nilipenda nizungumuze na weye kuhusu funzo la Biblia la bila kulipa. Broshua hii inaonyesha namna gani unaweza kutumia Biblia yako ili kupata majibu ya maulizo ya maana.

Ulizo: Je, umekwisha kusomaBiblia? Acha nikuonyeshe namna gani ni mwepesi kujifunza Biblia kupitia broshua hii. [Muzungumuzie ulizo la 1 katika somo la 2.]

Andiko:Ufu 4:11

ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO

Fuata mufano wenye kuwa kuwa hapo juu ili kuandika namna yako ya kuanzisha mazungumuzo

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine