Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 7 uku. 1
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • MUNARA WA MULINZI
  • MUNARA WA MULINZI (ukurasa wa mwisho)
  • HABARI NJEMA INAYOTOKA KWA MUNGU!
  • ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 7 uku. 1
Dada anahubiria habari njema mwanamuke mwenye kuvuna chai katika inchi ya Caméroun

Mwanamuke mwenye kuvuna chai katika inchi ya Caméroun anahubiriwa habari njema

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

MUNARA WA MULINZI

Munara wa Mulinzi Na. 4 | Biblia—Iliokoka Namna Gani

Ulizo: Kama kweli Biblia inatoka kwa Mungu, hakuna mutu mwenye anaweza kuiharibu kabisa na kufanya isipatikane tena, si vile?

Andiko: Isa 40:8

Namna ya Kutoa: Habari zenye kuwa katika gazeti hili zinazungumuzia namna Biblia ilishambuliwa sana.

MUNARA WA MULINZI (ukurasa wa mwisho)

Ulizo: Unawaza nini juu ya ulizo hili? [Soma ulizo la kwanza kwenye ukurasa wa 16.] Watu fulani wanaamini kama dini ilianzishwa na wanadamu. Wengine wanaamini kama Mungu anatumia dini ili atuvute kwake. Weye, unawaza nini?

Andiko: Yak 1:27

Namna ya Kutoa: Habari hii inaeleza mambo yenye Biblia inasema juu ya jambo hilo. Nitafurahi kuja tena ili tuzungumuzie mambo fulani kati ya mambo hayo.

HABARI NJEMA INAYOTOKA KWA MUNGU!

Habari Njema Kutoka kwa Mungu!

Ulizo: Watu wengi wanasema kama kusoma unabii wa Biblia ni sawa na kusoma habari katika gazeti fulani la ulimwengu. Ni mambo gani kati ya mambo yenye yalitabiriwa zamani umeona ao kusikia yanatendeka?

Andiko: 2Tim 3:1-5

Namna ya Kutoa: Broshua hii inaonyesha namna unabii huo wenye unatimia leo ni habari njema kwa watu wenye kumupenda Mungu. [Muzungumuzie somo la 1, ulizo la 2.]

ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO

Ulizo:

Andiko:

Namna ya Kutoa:

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine