UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | NEHEMIA 12-13
Mambo Fulani Yenye Tunajifunza Katika Kitabu cha Nehemia
Nehemia alitetea ibada ya kweli kwa bidii
Tobia alikuwa mupinzani na hakumuabudu Yehova, lakini Kuhani Mukubwa Eliashibu aliruhusu Tobia amuchochee
Eliashibu alimupatia Tobia nafasi katika chumba kimoja cha kukulia chakula cha hekalu
Nehemia alitupa inje vitu vyote vya Tobia, alitakasa chumba hicho, na alifanya kitumiwe tena namna kilipaswa kutumiwa
Nehemia aliendelea kuondoa mambo yote machafu katika Yerusalemu