Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 2 uku. 7
  • Esta Aliwatetea Watu wa Mungu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Esta Aliwatetea Watu wa Mungu
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Alihatarisha Uzima Wake ili Kulinda Watu wa Mungu
    Tuige Imani Yao
  • Aliwatetea Watu wa Mungu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Alitenda kwa Hekima, Ujasiri na kwa Kujinyima
    Tuige Imani Yao
  • Alitenda kwa Hekima, Ujasiri, na Bila Ubinafsi
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 2 uku. 7

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ESTA 1-5

Esta Aliwatetea Watu wa Mungu

Esta alionyesha imani yenye nguvu na hakuogopa wakati alitetea watu wa Mungu

  • Mutu kufika mbele ya mufalme pasipo ruhusa, angeuawa. Esta alifanya siku 30 pasipo Mufalme kumualika mbele yake

  • Mufalme Ahasuero, mwenye kuzaniwa kuwa Shasta wa kwanza, alijulikana kuwa mutu mukali na mwenye kukasirika sana. Siku moja, aliambia watu wake wakate mwanaume mumoja vipande viwili na watu wengi wamuone ili akuwe fundisho kwao. Alimunyanganya pia Vashti cheo chake cha malkia wakati alikosa kumutii

  • Esta alipaswa kuonyesha kwamba yeye ni Muyahudi na kumusadikisha mufalme kwamba mushauri mwenye alitumainia alimudanganya

Malkia Esta anagusa sehemu ya mwisho ya fimbo yenye Mufalme Ahasuero anamuonyesha katika nyumba ya mufalme
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine