Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 8 uku. 6
  • ‘Mumushukuru Yehova’

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • ‘Mumushukuru Yehova’
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tumushukuru Yehova na Tutabarikiwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Sala ya Shukrani
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • ‘Tujionyeshe Wenye Shukrani’
    Huduma Yetu ya Ufalme—1997
  • “Mushukuru kwa Kila Jambo”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 8 uku. 6

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 106-109

‘Mumushukuru Yehova’

Musa na Waisraeli wanamushukuru Yehova

Sababu gani Waisraeli walisahau haraka matendo ya wokovu ya Yehova?

106:7, 13, 14

  • Kwa sababu walianza kukazia akili hali yao ya maisha na mambo yao ya kimwili

Namna gani unaweza kuwa na shukrani na kuendelea kuionyesha?

106:1-5

  • Fikiria sababu zenye zinakuchochea umushukuru Yehova

  • Fikiri sana juu ya tumaini la wakati unaokuja

  • Umushukuru Yehova katika sala juu ya mambo fulani yenye amekufanyia

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine