UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 106-109
‘Mumushukuru Yehova’
Sababu gani Waisraeli walisahau haraka matendo ya wokovu ya Yehova?
Kwa sababu walianza kukazia akili hali yao ya maisha na mambo yao ya kimwili
Namna gani unaweza kuwa na shukrani na kuendelea kuionyesha?
Fikiria sababu zenye zinakuchochea umushukuru Yehova
Fikiri sana juu ya tumaini la wakati unaokuja
Umushukuru Yehova katika sala juu ya mambo fulani yenye amekufanyia