Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 10 uku. 1
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • AMUKA!
  • FUNDISHA KWELI
  • MUALIKO KWA AJILI YA MIKUTANO YA KUTANIKO (inv)
  • ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 10 uku. 1
Mashahidi wa Yehova wanatolea watu mualiko kwa ajili ya mikutano ya kutaniko

Kualika watu kwenye mikutano

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

AMUKA!

Amuka! Na. 5 2016 | Yesu Aliishi Kabisa Duniani?

Ulizo: Watu fulani hawaamini kama Yesu aliishi kabisa duniani; wengine wako hakika kama aliishi kabisa duniani. Wengine tena wanasema hakuna namna ya kujua kama aliishi kabisa ao hapana. Weye unawaza nini?

Namna ya Kutoa: Amuka! hii iko na mambo yenye kuonyesha kama Yesu aliishi kabisa duniani.

FUNDISHA KWELI

Biblia yenye kufunguliwa

Ulizo: Ni nini inatokea wakati tunakufa?

Andiko: Yoh 11:11-14

Kweli: Wakati mutu anakufa, maisha yake inaisha. Kwa hiyo hatupaswe kuogopa kifo. Yesu alilinganisha kifo na usingizi. Kama vile Yesu alifufua Lazaro, ‘atafufua’ wapendwa wetu wenye wamekufa ili wafurahie tena maisha katika dunia.​—Ayubu 14:14.

MUALIKO KWA AJILI YA MIKUTANO YA KUTANIKO (inv)

Mualiko kwa Ajili ya Mikutano ya Kutaniko

Namna ya Kutoa: Napenda kukualika ukuje kusikiliza hotuba yenye kutegemea Biblia, hautaombwa feza. Itatolewa kwenye Jumba letu la Ufalme. [Umutolee mualiko, na umuambie saa na mahali penye mukutano wa mwisho wa juma utafanywa, na pia umuambie kichwa cha hotuba.]

Ulizo: Ulishaka fika ku Jumba la Ufalme? [Kama inawezekana umuonyeshe video Kwa Kawaida Tunafanya Nini Kwenye Jumba la Ufalme?]

ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO

Fuata mifano hiyo ili kuandika namna yako ya kuanzisha mazungumuzo.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine