UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | METHALI 7-11
“Moyo Wako Usikengeuke”
Kanuni za Yehova zinaweza kutulinda. Lakini ili zituletee faida, tunapaswa kuzipenda sana na kuziweka katika moyo wetu. (Met 7:3) Wakati mutumishi wa Yehova anaacha moyo wake ukengeuke, itakuwa vyepesi kwa Shetani kumudanganya na kumuangusha. Methali sura ya 7 inazungumuzia kijana mwanaume mwenye aliacha moyo wake umudanganye. Makosa yake yanaweza kutufundisha nini?
Shetani anajaribu kuharibu urafiki wetu na Yehova kwa kutumia mambo hayo tano ili kutuchochea kufanya mabaya
Hekima na uelewaji vitatusaidia kutambua matokeo mabaya ya zambi na vitatusaidia kuepuka mambo yenye inaweza kuharibu hali yetu ya kiroho