Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 1 uku. 3
  • “Mufalme Atatawala kwa Ajili ya uadilifu”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Mufalme Atatawala kwa Ajili ya uadilifu”
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Habari za Kufanana na Zile
  • “Mujiangalie Ninyi Wenyewe na Kundi Lote”
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • “Lichungeni Kundi la Mungu Lililo Chini ya Uangalizi Wenu”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • ‘Wanaume Walio Zawadi’ Wanachunga kwa Shauku Kundi la Mungu
    Huduma Yetu ya Ufalme—2002
  • Wachungaji, Muige Wachungaji Wakubwa Zaidi
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 1 uku. 3

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ISAYA 29-33

“Mufalme Atatawala kwa Ajili ya Uadilifu [Haki]”

Yesu, Mufalme, anachagua “wakuu,” ni kusema, wazee wenye wanachunga kutaniko

32:1-3

  • Kama ‘mahali pa kujificha kutokana na zoruba ya mvua,’ wanafanya kazi ili kulinda kundi wakati wa mateso na kuvunjika moyo

  • Kama ‘vijito vya maji katika inchi isiyo na maji,’ wanamaliza kiu cha kiroho cha watu kwa kuwatolea kweli yenye kuwa safi

  • Kama ‘kivuli cha mwamba muzito katika inchi iliyochoka,’ wanaletea kundi kitulizo kwa kuliongoza kiroho na kulitia moyo

    Mwanaume wa wakati wa zamani anafichama mvua, anakunywa maji ya mutoni, na anapumuzika chini ya kivuli cha jiwe kubwa
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine