UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ISAYA 29-33
“Mufalme Atatawala kwa Ajili ya Uadilifu [Haki]”
Yesu, Mufalme, anachagua “wakuu,” ni kusema, wazee wenye wanachunga kutaniko
Kama ‘mahali pa kujificha kutokana na zoruba ya mvua,’ wanafanya kazi ili kulinda kundi wakati wa mateso na kuvunjika moyo
Kama ‘vijito vya maji katika inchi isiyo na maji,’ wanamaliza kiu cha kiroho cha watu kwa kuwatolea kweli yenye kuwa safi
Kama ‘kivuli cha mwamba muzito katika inchi iliyochoka,’ wanaletea kundi kitulizo kwa kuliongoza kiroho na kulitia moyo