UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ISAYA 38-42
Yehova Anamupatia Nguvu Mutu Mwenye Kuchoka
Tai anaweza kubakia katika anga kwa saa nyingi akitumia hewa ya moto. Wakati anakutana na hewa hiyo, anaingia ndani ya hewa hiyo na inamupandisha juu. Wakati anafika juu sana, ni mwepesi kwake kuruka mupaka kwenye hewa ingine ya moto na anafanya hivyo tena na tena
Mufano wa tai wa kuruka kwa urahisi unaonyesha muzuri namna tunaweza kuendelea mbele katika ibada yetu kwa kutumia nguvu yenye Mungu anatupatia