Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 4 uku. 1
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • AMUKA!
  • FUNDISHA KWELI
  • Andiko: Mt 6:10
  • UFALME WA MUNGU NI NINI? (Kumurudilia mutu)
  • Andiko: Zab 37:29; Isa 65:21-23
  • ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO
  • Utangulizi
    Amuka!—2017
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Namna Mbalimbali za Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 4 uku. 1
Muhubiri mwenye hatende tena anakaribishwa kwa furaha katika kutaniko

Dada anakaribishwa kwenye Jumba la Ufalme

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

AMUKA!

Amuka! Na. 22017 | Hatari ya Kujifurahisha na Mambo ya Mashetani

Ulizo: Leo, filme na programu mbalimbali za televizyo zinaonyesha sana mambo ya mashetani kama vile uchawi na wanyonya-damu. Unawaza nini? Unawaza hayo ni mambo ya kujifurahisha tu, ao kuko hatari fulani?

Namna ya Kutoa: Amuka! hii inaonyesha juu ya nini watu wanapenda sana mambo ya uchawi na pia hatari yenye mambo hayo yanaleta.

FUNDISHA KWELI

Biblia yenye kufunguliwa

Ulizo: Namna gani Ufalme wa Mungu utamaliza magumu ya ulimwengu huu?

Andiko: Mt 6:10

Kweli: Ufalme wa Mungu utaleta amani, umoja na usalama katika dunia, kama vile umefanya huko mbinguni.

UFALME WA MUNGU NI NINI? (Kumurudilia mutu)

Ufalme wa Mungu Ni Nini?

Ulizo: [Kazia ulizo lenye kupatikana kwenye ukurasa wa mwisho wa trakte.] Maisha ya watu yatakuwa namna gani wakati Ufalme wa Mungu utaanza kutawala?

Andiko: Zab 37:29; Isa 65:21-23

Namna ya Kutoa: [Umuonyeshe mutu broshua Habari Njema.] Somo la 7 la broshua hii linazungumuzia faida zenye ahadi hizo zinaweza kutuletea. [Anzisha funzo la Biblia kwa kutumia broshua hii.]

ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO

Ulizo:

Andiko:

Namna ya Kutoa:

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine