UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 15-17
Unatimiza Ahadi Zako?
Mufalme Sedekia alivunja ahadi gani?
Kuvunja ahadi hiyo kulikuwa na matokeo gani?
Ni ahadi gani na makubaliano gani nimefanya?
Kama minavunja ahadi na makubaliano yangu naweza kupata matokeo gani?