UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 20-21
Yehova Anatimiza Sikuzote Mambo Yenye Anaahidi
Yehova alibariki Abrahamu na Sara kwa kuwapatia mutoto mwanaume. Kisha, utii wao wakati walikuwa na magumu ulionyesha kama walikuwa na imani sana katika ahadi ya Yehova ya wakati wenye kuja.
Namna gani kuendelea kuwa na utii wakati ninapata magumu kunaonyesha kama ninatumainia ahadi za Yehova za wakati wenye kuja? Namna gani naweza kufanya imani yangu ikuwe nguvu?