Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 7 uku. 2
  • “Sasa Utaona Mambo Yenye Nitamutendea Farao”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Sasa Utaona Mambo Yenye Nitamutendea Farao”
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yehova Anatimiza Sikuzote Mambo Yenye Anaahidi
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Mapigo Tatu ya Kwanza
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 7 uku. 2
Waisraeli pamoja na wengine wengi wenye hawakukuwa waisraeli wako wanatoka katika inchi ya Misri.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | KUTOKA 6-7

“Sasa Utaona Mambo Yenye Nitamutendea Farao”

6:1, 6, 7; 7:4, 5

Mbele alete mapigo katika inchi ya Misri na kukomboa Waisraeli kutoka katika utumwa, Yehova aliambia Waisraeli mambo yenye alikuwa karibu kufanya. Wangeona namna Yehova angeonyesha nguvu yake katika njia yenye walikuwa hawajaonaka, na kwa kweli, Wamisri wangejua kama Yehova njo Mungu wa kweli. Wakati ahadi za Mungu zilitimia, ile ilitia nguvu imani ya Waisraeli, na ilisaidia kumaliza uvutano wa dini za uongo zenye zilikuwa Misri.

Namna gani hii habari ya Biblia inakuhakikishia zaidi kama ahadi za Yehova juu ya wakati wenye kuja zitatimia?

Waabudu waaminifu wa Yehova wako wanatoka katika taabu kubwa.
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine