UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 18-20
Wakati Yehova Anasamehe, Anasahau?
Wakati Yehova anasamehe zambi zetu, hawezi tena kutupatia malipizi kwa sababu ya zambi hizo wakati unaokuja.
Mifano hii ya Biblia inatusaidia kuamini kama Yehova anasamehe kabisa.
Mufalme Daudi
Alifanya Makosa Gani?
Sababu gani Yehova alimusamehe?
Namna Gani Yehova alionyesha kama amemusamehe?
Mufalme Manase
Alifanya makosa gani?
Sababu gani Yehova alimusamehe?
Namna Gani Yehova alionyesha kama amemusamehe?
Mutume Petro
Alifanya makosa gani?
Sababu gani Yehova alimusamehe?
Namna gani yehova alionyesha kama amemusamehe?