UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 32-34
Mulinzi Alikuwa na Daraka Kubwa
Zamani walinzi walikuwa wanasimama juu ya ukuta wa muji na juu ya minara ili kuonya watu kama hatari inatokea. Yehova alimufanya Ezekieli kuwa mulinzi wa mufano “kwa nyumba ya Israeli.”