MAISHA YA MUKRISTO
Tuonyeshe Sifa Zenye Kumupendeza Mungu—Imani
SABABU GANI NI JAMBO LA LAZIMA:
Tuko na lazima ya imani ili kumupendeza Mungu kabisa.—Ebr 11:6
Kuwa na imani katika ahadi za Mungu kunatusaidia tuvumilie majaribu.—1Pet 1:6, 7
Kukosa imani kunaweza kutupeleka kwenye zambi.—Ebr 3:12, 13
NAMNA YA KUFANYA:
Soma Neno la Mungu na ufikiri sana juu ya mambo yenye unasoma.—Rom 10:17; 1Tim 4:15
Usiache kukusanyika pamoja na watu wenye imani.—Rom 1:11, 12
Namna gani ninaweza kutia nguvu imani yangu na ya watu wa familia yangu?
MUANGALIE VIDEO FUATILIA MAMBO YENYE KUCHOCHEA USHIKAMANIFU—IMANI, KISHA MUJIBIE MAULIZO HAYA: