UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | AMOSI 1-9
“Umutafute Yehova ili Uendelee Kuishi”
Kumutafuta Yehova, maana yake nini?
Maana yake, tunapaswa kuendelea kujifunza juu ya Yehova na kuishi kulingana na kanuni zake
Ni nini iliwapata Waisraeli wakati walikataa kumutafuta Yehova?
Waliacha ‘kuchukia yaliyo mabaya na kupenda yaliyo mema’
Walitatufa kufanya mapenzi yao wenyewe
Walizarau muongozo wa Yehova
Yehova ametutolea musaada gani ili tuendelee kumutafuta?