UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | OBADIA 1–YONA 4
Makosa Yako Ikufundishe
Habari ya Yona inaonyesha kama wakati tunafanya makosa, Yehova hatuachilie. Lakini anapenda makosa yetu itufundishe na tufanye mabadiliko.
Yona alifanya kosa gani wakati Yehova alimupatia mugao?
Yona alisali kwa ajili ya jambo gani, na Yehova alimujibia nini?
Yona alionyesha namna gani kama makosa yake ilimufundisha?