UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | SEFANIA 1–HAGAI 2
Umutafute Yehova Mbele Siku Yake ya Kasirani Ifike
Ili Yehova atufiche siku ya kasirani yake, tunapaswa kwanza kujitoa kwake. Tunapaswa pia kutii muongozo wenye Sefania alitolea Waisraeli.
Tafuta Yehova: Komalisha urafiki wako pamoja na Yehova kwa kuendelea kuwa katika tengenezo lake
Tafuta uadilifu [haki]: Tegemeza kanuni za Yehova za haki za mwenendo safi
Tafuta upole: Kwa unyenyekevu, kubali mazoezi na muongozo wa Mungu.
Namna gani ninaweza kutafuta Yehova, uadilifu [haki], na upole kwa njia kubwa zaidi?