UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATHAYO 6-7
Muendelee Kuutafuta Kwanza Ufalme
Katika sala ya Baba yetu, Yesu alionyesha kama tunapaswa kuhangaikia kwanza Ufalme wa Mungu na mipango yake.
Jina la Mungu
Ufalme wa Mungu
Mapenzi ya Mungu
Chakula chetu kwa ajili ya siku
Kusamehewa zambi
Kukombolewa kutoka katika majaribu
Ninaweza kusali juu ya mambo haya yenye kuhusu Ufalme:
Kazi ya kuhubiri iendelee
Roho takatifu ya Mungu itegemeze ndugu na dada wenye wanateswa
Mungu abariki kazi fulani ya ujenzi ao mipango fulani ya kampanye za kuhubiri
Mungu apatie wale wanatuongoza hekima na nguvu
Mambo mengine