Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 11 uku. 5
  • Kuonyesha Shukrani

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kuonyesha Shukrani
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Onyesha Shukrani Yako
    Huduma Yetu ya Ufalme—2004
  • Juu ya Nini Tunapaswa Kuonyesha Shukrani?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
  • Mambo Yenye Kitabu cha Mambo ya Walawi Kinatufundisha
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2019
  • Muendelee Kuutafuta Kwanza Ufalme
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 11 uku. 5
Familia moja ya Waisraeli wanakula nyama yenye ilitolewa kuwa zabihu ya ushirika.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MAMBO YA WALAWI 6-7

Kuonyesha Shukrani

7:11-15, 20

Zabihu za ushirika zenye Waisraeli walikuwa wanatoa, zinatukumbusha ulazima wa kumushukuru Yehova katika sala zetu na kupitia mwenendo wetu.​—Flp 4:6, 7; Kol 3:15.

  • Wakati tunasali, tunaweza kumushukuru Yehova juu ya mambo gani?​—1Te 5:17, 18

  • Juu ya nini ni muzuri kumushukuru Yehova?

  • Namna gani mutu anaweza kula ku “meza ya pepo wachafu,” na namna gani ile ni alama ya kukosa kumushukuru Yehova?​—1Ko 10:20, 21

Mwanamuke moja Mwisraeli anaangalia juu wakati iko anamushukuru Yehova.
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine