UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MAMBO YA WALAWI 6-7
Kuonyesha Shukrani
Zabihu za ushirika zenye Waisraeli walikuwa wanatoa, zinatukumbusha ulazima wa kumushukuru Yehova katika sala zetu na kupitia mwenendo wetu.—Flp 4:6, 7; Kol 3:15.
Wakati tunasali, tunaweza kumushukuru Yehova juu ya mambo gani?—1Te 5:17, 18
Juu ya nini ni muzuri kumushukuru Yehova?
Namna gani mutu anaweza kula ku “meza ya pepo wachafu,” na namna gani ile ni alama ya kukosa kumushukuru Yehova?—1Ko 10:20, 21