UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MARKO 1-2
“Zambi Zako Zimesamehewa”
Muujiza huu unatufundisha nini?
Magonjwa ni matokeo ya zambi yenye tuliriti
Yesu iko na mamlaka ya kusamehe zambi na uwezo wa kuponyesha wagonjwa
Katika Ufalme wake, Yesu ataondoa milele kukosa kukamilika na magonjwa
Namna gani andiko la Marko 2:5-12 linaweza kunisaidia wakati ninagonjwa?