UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YOHANA 1-2
Yesu Anafanya Muujiza Wake wa Kwanza
Muujiza wa kwanza wa Yesu unatufundisha mambo fulani juu ya sifa zake. Namna gani hii habari ya Biblia inatufundisha mambo yenye kuwa hapa chini?
Yesu alikuwa na mawazo yenye kufaa juu ya mambo ya kujifurahisha, alifurahia maisha na alipitisha wakati muzuri pamoja na marafiki wake
Yesu alihangaikia namna watu walijisikia
Yesu alikuwa mukarimu