UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | LUKA 1 Iga Unyenyekevu wa Maria Yehova alichagua Maria na kumutolea pendeleo la pekee kwa sababu alikuwa na moyo tayari. 1:38, 46-55 Namna gani maneno ya Maria ilionyesha kama alikuwa na . . . unyenyekevu? imani kubwa? ujuzi wa Maandiko? shukrani?