UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | LUKA 23-24
Ukuwe Tayari Kusamehe Wengine
Ninapaswa kusamehe nani?
‘Kuwa tayari kusamehe,’ maana yake nini? (Zab 86:5) Yehova na Mutoto yake wanatafuta alama fulani yenye kuonyesha kama hali ya moyo ya wanadamu watenda-zambi imebadilika ili wawaonyeshe rehema.