UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 44-45
Yosefu Anasamehe Ndugu Zake
Inaweza kuwa nguvu kusamehe, zaidi sana kama mutu ametutendea mubaya kwa makusudi. Nini njo ilisaidia Yosefu asamehe ndugu zake wakati walimutendea mubaya?
Yosefu hakulipiza kisasi lakini alitafuta kujua ikiwa ndugu zake wametubu ili awasamehe.—Zb 86:5; Lu 17:3, 4
Hakuendelea kuwakasirikia mu moyo wake lakini alimuiga Yehova, mwenye kuwa tayari kusamehe.—Mik 7:18, 19
Namna gani ninaweza kumuiga Yehova mwenye kuwa tayari kusamehe?