Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 6 uku. 2
  • Yosefu Anasamehe Ndugu Zake

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yosefu Anasamehe Ndugu Zake
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ukuwe Tayari Kusamehe Wengine
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • “Mimi Niko Mahali pa Mungu?”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Ukuwe Tayari Kusamehe
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Yehova Hakumusahau Yosefu Hata Kidogo
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 6 uku. 2
Yosefu iko anafunulia ndugu zake yeye ni nani, na ndugu zake wanashangaa sana.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 44-45

Yosefu Anasamehe Ndugu Zake

44:1, 2, 33, 34; 45:4, 5

Inaweza kuwa nguvu kusamehe, zaidi sana kama mutu ametutendea mubaya kwa makusudi. Nini njo ilisaidia Yosefu asamehe ndugu zake wakati walimutendea mubaya?

  • Yosefu hakulipiza kisasi lakini alitafuta kujua ikiwa ndugu zake wametubu ili awasamehe.​—Zb 86:5; Lu 17:3, 4

  • Hakuendelea kuwakasirikia mu moyo wake lakini alimuiga Yehova, mwenye kuwa tayari kusamehe.​—Mik 7:18, 19

Namna gani ninaweza kumuiga Yehova mwenye kuwa tayari kusamehe?

Picha: 1. Dada wawili wako wanazungumuza kwenye Jumba la Ufalme. 2. Ndugu wawili wako wanasalimiana.
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine